Luke 20:41-44
41 a bKisha Isa akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Al-Masihi ▼▼ Al-Masihi maana yake ni Masiya , yaani Aliyetiwa mafuta.
ni Mwana wa Daudi? 42 dDaudi mwenyewe anasema katika Kitabu cha Zaburi: “ ‘Bwana alimwambia Bwana wangu:“Keti mkono wangu wa kuume,
43 ehadi nitakapowaweka adui zako
chini ya miguu yako.” ’
44Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”
Isa Awashutumu Walimu Wa Sheria
(Mathayo 23:1-36; Marko 12:38-40)
Copyright information for
SwhKC